Shabana Iko Imara, Beki Alvin Ochieng Aeleza Imani ya Kuepuka Kushushwa Ngazi.

Beki wa kulia wa Kilabu ya Shabana FC, Alvin Ochieng, ametoa matumaini ya uhakika kwamba timu yake haitashuka daraja msimu huu katika Ligi Kuu ya FKF. Ochieng ameeleza kuwa ili kuthibitisha nafasi yao kwa msimu ujao, wanahitaji angalau ushindi katika mechi tatu zinazofuata. Shabana FC imeonyesha mwendo imara katika mechi zao nne zilizopita, wakipata alama…

Soma Zaidi

Wanariadha wa Kenya Watawala Guttenberg Half Marathon

Wanariadha wa Kenya kwa mara nyingine walionyesha uwezo wao wa hali ya juu kwa kutawala na kuibuka kidedea katika mashindano ya Guttenberg Half Marathon yaliyofanyika nchini Ujerumani siku ya Jumapili. Kikosi hicho kilichoongozwa na Benson Mutiso na Victor Kimutai kilichukua udhibiti wa mbio hizo, wakivunja historia ya mbio hizo huku pia wakifanikiwa kumaliza mbio hizo…

Soma Zaidi

Manchester United Wameingia Sokoni Kwa Mwembwe

Kocha wa zamani wa Bayern Munich wa Chelsea Thomas Tuchel ni miongoni mwa orodha ya Manchester United ya watu wanaoweza kuchukua nafasi ya Erik ten Hag iwapo Mholanzi huyo ataondoka msimu wa joto. Hata hivyo Tuchel amefungua milango ya kusalia Bayern Munich baada ya msimu huu licha ya kutangazwa Februari kwamba ataondoka. Manchester United imefanya…

Soma Zaidi