John Waicua

Xavi Hernandez

Barcelona Yampiga Kalamu Kocha Xavi Hernandez.

Kilabu ya Barcelona imemsimamisha kazi kocha wake Xavi Hernandez kutoka kwa wadhifa wake wa ukufunzi. Katika taarifa iliyochapishwa na usimamizi wa Barcelona siku ya Ijumaa, usimamizi wa Barca ukiongozwa na rais Joan Laporta, uliafikia uamuzi wa kumsimamisha kazi Xavi baada ya kikao kilichoandaliwa mapema leo. Xavi mwenye umri wa miaka 44, alitangaza kwamba ataondoka Barcelona…

Soma Zaidi