Mauricio Pochettino

Mauricio Pochettino Aondoka Chelsea.

Katika taarifa iliyotolewa kupitia tovuti rasmi ya Chelsea, usimamizi wa klabu hiyo umetangaza kuafikia makubaliano ya kuachana na Mauricio Pochettino kama mkufunzi mkuu. Hatua hii imekujia kwa mshangao kwa mashabiki wa kilabu ya chelsea, baada ya Pochettino kuhudumu kwa msimu mmoja pekee katika klabu hiyo. Pochettino, mwenye umri wa miaka 52, aliteuliwa kuwa mkufunzi mkuu…

Soma Zaidi

Manchester United Wameingia Sokoni Kwa Mwembwe

Kocha wa zamani wa Bayern Munich wa Chelsea Thomas Tuchel ni miongoni mwa orodha ya Manchester United ya watu wanaoweza kuchukua nafasi ya Erik ten Hag iwapo Mholanzi huyo ataondoka msimu wa joto. Hata hivyo Tuchel amefungua milango ya kusalia Bayern Munich baada ya msimu huu licha ya kutangazwa Februari kwamba ataondoka. Manchester United imefanya…

Soma Zaidi