John Waicua

Mauricio Pochettino

Mauricio Pochettino Aondoka Chelsea.

Katika taarifa iliyotolewa kupitia tovuti rasmi ya Chelsea, usimamizi wa klabu hiyo umetangaza kuafikia makubaliano ya kuachana na Mauricio Pochettino kama mkufunzi mkuu. Hatua hii imekujia kwa mshangao kwa mashabiki wa kilabu ya chelsea, baada ya Pochettino kuhudumu kwa msimu mmoja pekee katika klabu hiyo. Pochettino, mwenye umri wa miaka 52, aliteuliwa kuwa mkufunzi mkuu…

Soma Zaidi

Pamzo Atatuletea Taabu, Mkufunzi wa Kogalo Asema Kabla ya Mchuano wao.

Mkufunzi wa kilabu ya Gor Mahia, Jonathan McKinstry, anaamini kwamba kilabu ya Shabana itawapa wakati mgumu wakati watakapokutana katika mpambano wa ligi kuu siku ya Jumamosi. McKinstry ameeleza kuwa kocha wa Shabana, Sammy “Pamzo” Omollo, anaifahamu vyema Gor Mahia na huenda akawaletea changamoto katika mchezo huo utakaochezwa mjini Kisumu. “Kocha Pamzo anaijua vyema K’Ogalo kwa…

Soma Zaidi