Mauricio Pochettino

Mauricio Pochettino Aondoka Chelsea.

Katika taarifa iliyotolewa kupitia tovuti rasmi ya Chelsea, usimamizi wa klabu hiyo umetangaza kuafikia makubaliano ya kuachana na Mauricio Pochettino kama mkufunzi mkuu. Hatua hii imekujia kwa mshangao kwa mashabiki wa kilabu ya chelsea, baada ya Pochettino kuhudumu kwa msimu mmoja pekee katika klabu hiyo. Pochettino, mwenye umri wa miaka 52, aliteuliwa kuwa mkufunzi mkuu…

Soma Zaidi