Wanariadha wa Kenya Watawala Guttenberg Half Marathon

Wanariadha wa Kenya kwa mara nyingine walionyesha uwezo wao wa hali ya juu kwa kutawala na kuibuka kidedea katika mashindano ya Guttenberg Half Marathon yaliyofanyika nchini Ujerumani siku ya Jumapili. Kikosi hicho kilichoongozwa na Benson Mutiso na Victor Kimutai kilichukua udhibiti wa mbio hizo, wakivunja historia ya mbio hizo huku pia wakifanikiwa kumaliza mbio hizo…

Soma Zaidi